#Uchaguzi2020 #Lissu2020
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene amesema "Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama" @ChademaTv