Duration 20:5

EXCLUSIVE: Mambo muhimu yakufahamu MAMA MJAMZITO ili kuwa salama na kiumbe chako tumboni

259 388 watched
0
922
Published 22 Oct 2018

MAMBO MUHIMU yakuzingatia kuhusu: 1. Tendo la Ndoa kipindi cha UJAUZITO, 2. Mavazi: Nguo za kuvaa, Maumivu ya mgongo kwa MAMA MJAMZITO, Athari zake na jinsi ya kujilinda, 3. Mazoezi yakufanya wakati wa UJAUZITO. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Dar24 #Dar24Media

Category

Show more

Comments - 124
  • @
    @fileteomdage7684 years ago Nice explanation therapist god bless you. 5
  • @
    @halimaothmann23524 years ago Asante dokta nimejifunza na maelezo yakomazuri. 3
  • @
    @angelsylvester47953 years ago Ahsante sana dr wewe uko wapi maana umetoa somo zuri sana mungu akubariki. 2
  • @
    @cantcan16444 years ago Habar docta, nipo kilimanjaro mgongo unanisumbua. 4
  • @
    @biscuits0013 months ago Mi nlikuwa naumwa na tumbo miezi miwili mitatu nlishika shika nkawanaifanya kama naizungusha. Kumbe nlimzungusha mtoto akaangalia chini na miezi mitatu sijui kama n hatari akiwa hvo miezi yote.
  • @
    @andrewmakwi51065 years ago Dada asante me naumwa ivo miez 8 ya mimba nilienda napewa dawa za utihai t hosp he nifanje naumia adi mguuni. 4
  • @
    @marwalzzy59834 years ago Hata mm nina maumivu ya mgongo na ganzi. 3
  • @
    @fatmahaji77762 years ago Mm mjamzito kisha mtt anatulia juu ya kitovu tatiz nini nakupata choo cheusi.
  • @
    @shamambonahuwekimuendelezo66592 years ago Umejitahidi dada lkn ulikua na ka presha.
  • @
    @jolieelysee69253 years ago Mama mjamzito kulala chaliwa mwezi inamazala? Pls nijibu docta. 5
  • @
    @irenemnywele83605 years ago Docktar mm naumwa sana na tumbo tatizo nn pia mimba yangu ya kwanzaa hii. 16
  • @
    @yunisgrayson28372 years ago Mimi nakatazwa hata kutembea naambia nitakutana na vitu vibaya nipo kwa mama mkwe nimechoka ujauzito wangu unanituma kutembea sina usingizi mchana usiku . ...Expand 1
  • @
    @haithamshein77264 years ago Mimo ni mja mzito na uke wng una maji mengi nifanyeje? 4
  • @
    @amirmotors97356 years ago Dawa gan anatakiwa amezee mama mjamzito wenye miez 4, mwenye ugonjwa wa akir. 7
  • @
    @zainatoji19653 years ago Mimi ninamimba mwenzio mmoja lakini naumwa sana na kiumo na mgongo tatizo nini. 2
  • @
    @irenepeter90412 years ago Mmh mfupi mbona mm mfup na nimejifungua kawaida.
  • @
    @asiamark88415 years ago Hlw doctor naomba kuuliza nna mimba ya miez minne ila uzito auwongezeki na presha inakua chini sababu ni nn. 5
  • @
    @nyokarahim50804 years ago Doct mm nina mimba ya miez miwil lkn sasa nikienda choon natokwa na uchafu nimeenda hospital wananiambia mimba imeharibika lkn dam haitoki inawezekana kweli. 5
  • @
    @andrewmakwi51065 years ago Araf kama nimeka nikiamka napata maumivu makali. 3
  • @
    @fatimambaruku18333 years ago Mm dokta kiuno kinaniuma mpaka nikiinama kuinuka ni shida pamoja na miguu kweny joint ya kiuno nifanyeje.
  • @
    @sarahmuhinjo67462 years ago Dk maumivu ninayo kwenye mgongo kutokana na ujauzito kwa nn sipati kabisa hamu ya tend la ndoa je hilo ni tatizo au kawaida tu. 1
  • @
    @iqraamansoor46164 years ago Nauliza eti kama mtoto yupo upande wa kulia je? Mama anatakiwa alale upande upi. 6
  • @
    @nandychaz14284 years ago Naomba kurinza mi nimjamnzito iranapata kichomi marakwamara. 3
  • @
    @yustakipenyakipenya91175 years ago Ayo mazoez unaanza mimba ikiwa na umri gan.
  • @
    @maryseleman80195 years ago Umedanganya kulala chali mwisho miezi sita tofauti na hapo. 4
  • @
    @aloycesteven59983 years ago Dada jitahidi kutoa na maandishi kusaidia wasio sikia masomo yako. 2
  • @
    @mamrashid72575 years ago Doctor mbona unahema sana uma pressure. 6
  • @
    @abellangaiza79405 years ago Naweza kufanya mazoezi nikiwa na mimba ya mwezi mmoja. 4
  • @
    @siaharold56855 years ago Mm mjamzito anaruhusuwa kunywa grand malta. 1
  • @
    @shinjeclassic30533 years ago Mimi ninachoka sana na sipati hamu ya chakula. 2
  • @
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17965 years ago Mimi sina hamu ya kula kabisa na mimba yangu ya kwanza haikuwa hivyo kuna dawa ya kupata hamu ya kula? 9
  • @
    @jenieljoseph85733 years ago Duuh we nae unazunguka tu mgongo nyoo alafu hujibu hata comments muone kwanza. 3
  • @
    @yaaishbaybe74776 years ago Nakataa ati mtu alalehatari kulala chali kuna mishipa yachakula na hewa from mama, to bby anaeza akiulalia mzazi mtoto adhurike. 22
  • @
    @macanilusiji34235 years ago Doctor hivi mjamzito anaruhusiwa kula ukwaju? 5
  • @
    @mauamussa46225 years ago Doctor mama mjamzito haruhusiwi kula kipolo? 7
  • @
    @deborahsembe3035 years ago Kuna umuhimu gan wa kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito. 8
  • @
    @ngupalirashidi41046 years ago Docta mjanzito analuhusiwa kula nanasi. 7
  • @
    @lightnesscharlse22815 years ago Mhh sina hata hisia sasa hivi ya kufanya tendo natamani nijizalie tu. 2