Duration 7:13

ASKOFU GWAJIMA BUNGENI LEO HII HAIKUBALIKI KWA WAKATI WOWOTE HAPA NCHINI

185 744 watched
0
1 K
Published 4 Feb 2021

Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ni miongoni mwa Wabunge ambao leo February 4 2021 wamechangia mjadala kuhusu hotuba ya Rais John Magufuli aliyoitoa wakati akizindua Bunge la 12, Askofu Gwajima amesema mgawanyo wa usimamizi wa barabara nchini hauendani na kiwango cha mgao wa asilimia 30 ya fedha za barabara wanazopewa.

Category

Show more

Comments - 323
  • @
    @ericklaura75113 years ago Thank hon gwajima for the poweful insight. 13
  • @
    @joycecharles78213 years ago Education is the key of mind. Bigup gwaji. 8
  • @
    @paschalrutashoborwa79763 years ago Ahsante sana mhe_askofu gwajima kwa kutetea barabara ndani ya miji, manispaa kutengewa bajeti nzuri ili ziweze kutengenezwa, na huko ni maeneo ambako watuna shughuli nyingi za. 10
  • @
    @oscarmwakisyala173 years ago Mmm, gwajima boy. You have got an international representation from your speech. 1
  • @
    @mpogomialexandermussa2483 years ago Hongera mheshimiwa gwajima kwa hotuba yenye kiwango na ubora, 7
  • @
    @mchomvuelias643 years ago This is lecture, which i think is necessary. 1
  • @
    @fatumahassan82123 years ago Huyo ndiyo mheshimiwa gwajima naimani utatenda haki kwa wananchi wa kawe una uelewa mpana big up mheshimiwa gwajima. 16
  • @
    @peterkatete56453 years ago Hon. Dr gwajima nimekwelewa ningekuwa mimi ningekuweka kwenye kamati ya hukohuko talula. Asante mwalimu kwa lecture.
  • @
    @jabalimikechi77503 years ago Wow i didn' t know this man of god was thiswana bahati sana na tz piya. 9
  • @
    @angelqwaray91743 years ago Hongeraa askofu kweli ndani yako unaroho wa mungu waombee bunge la 12 itakuwa takatifu baba mzuri sana wewe. 12
  • @
    @josephkasika67553 years ago Smart guy, niongezee pia joseph nye alifafanua vizuri zaidi kwenye strong power or hard power, soft power na smart power kuednelea world power from western to eastern asia. 2
  • @
    @furahafrank82673 years ago Wewe unaweza hii kazi kila siku unaongea point. 35
  • @
    @gilukwayoegine31453 years ago How can some one dislike this sense point like this? It means some people they ' re enemies of success! 10
  • @
    @marcondokeji89823 years ago Hongera sana mheshimiwa gwajima, you speak point always. 4
  • @
    @haysanhassan26853 years ago Gwaji confidence ya kutosha kama yupo bungeni miaka 30 iliyopita. 7
  • @
    @aishaasumany5613 years ago Mashaallah wwe uko sawa umemshinda mpaka mama samia mashaallah mungu akueke nahasidi.
  • @
    @zariadunia63283 years ago Mbunge sahihi kea wakati sahihi sikutegemea kama askofu gwajima atakuwa kifaa kama hivi gwajima asante sana mh you are a smart mp. 5
  • @
    @miriammollel17553 years ago God bless you servant of living god. Gwajima boy.
  • @
    @francisrobert96523 years ago Askofu gwajima unatisha ulikuwa wapi siku zote upo strong kawe wamepata mbunge big up unapoongea unaeleweka. 1
  • @
    @gracekagoma32313 years ago Ndiyo faida ya kuwa na wabunge wasomi. Gwajima ahsante sana.
  • @
    @ezrashemayo90923 years ago Gwaji boyy ana vitu vyake personal yani huwez vipata bila kufukunyua. 23
  • @
    @doreenfrancis69773 years ago Hongera sana mweshimiwa kwa hoja nzur naimani maendeleo ya jimbo la kawe yapo karibu asante yesu.
  • @
    @augustinojonh6003 years ago Kasha mpiku halima mde. Naona halima mdee anaona aibu. 2
  • @
    @gibishinchambi19713 years ago Kwanini tulichelewa kukukpata gwajima? 16
  • @
    @wilonjahatua20673 years ago Huyu jamaa kama wangemyima ubunge ningesikitika sana kifuupi namkubali sana huyu mwamba namengi yakujifunza kwake. 23
  • @
    @villagelife_00343 years ago Safi sana jamaa la kula kondoo wake. Una points kuntu sana. 1
  • @
    @colinmhema5303 years ago Nanyinyi manashukuru kwa sababu mmekokotwa mkabebwa na tume mkafikishwa bungeni na sasa mnamshukuru. 2
  • @
    @shabaniguma86963 years ago Yani kuna point gwaji boy alitaka kasema ila ndugai kamzuia kuhusu corona mficha maradhi. 4
  • @
    @mosesevarsta25783 years ago Mungu mtee. Mtumishiwako. Amalize. Vizuri. Gwajima.
  • @
    @rehemandam23663 years ago Yaani gwajima ni mtu mnafiki sana hapa tz.
  • @
    @christopherhadson77433 years ago Hahahahaa ikumbukwe kuwa mbunge ni cheo kidogo sana leo je nibora ukasema mungu yupo ukafika hayupo klko kusma mung haypo ukafka anakusbr hatr sana mtumish.
  • @
    @rehemacharles61593 years ago Bunge linanoga sana tukiwa na viongozi kama hawa. 6
  • @
    @peterphillipo64773 years ago Very nice smart hon. Josephat gwajima, mapepo na wachawi tu ndio hawakupendi. 5
  • @
    @saidhuma91713 years ago Mh gwajima ulistahili uwaziri kabsa, dah unaweza kwelikweli. 7
  • @
    @hassanussein18173 years ago Smart power: unawabuluza na unawabembeleza kisha unawapata ushindi. 5
  • @
    @abdallahantony95243 years ago Kwaiyo aakof kakubali kunamuda tunaburuzwa sio. 2
  • @
    @Hillary_Daudi_Mrema3 years ago Raisi magufuli is smart power = strong power + soft power. 3
  • @
    @evancemakusa93503 years ago Miaka ijayo njoo kibamba nakukubari sana. 10
  • @
    @abelmtachoka75973 years ago Gwajima kichwa ase, mmmh! Points tupu!
  • @
    @noonelike63823 years ago Ahhjj. Muheshimiwa sijapennda ulipo mkatisha gwaji. Alikuwa anakwenda patam kinyama yani. Dahh. Kaishia neno korona dahh. 2
  • @
    @hizim66993 years ago Walikua wanakuita gwajiboy mhe, maisha haya.
  • @
    @expert58983 years ago Hamna kitu hapo. Yeye ni kusifia tu! Hana issue zozote za maendeleo ya taifa. Boya tu huyo.
  • @
    @duweetherapytalk46563 years ago Unaongea kisomi. Statiscal approval, definitely unahitajika kuwa waziri. 6
  • @
    @eventelias35663 years ago Watu wa simba msichanganye siasa na michezo tafadhali. 1
  • @
    @nyamogafamily42623 years ago Dah akajua yupo kanisani et, mazungumzo mpaka.
  • @
    @nikodemmwahangila33343 years ago Saafi askof ndiomaana niliomba uingie bungeni tunajua mungu yupo ktk bunge letu. 3
  • @
    @erickothegreat83533 years ago Watu wanao soma vitabu uwezi kushindana nao kwenye kujenga hoja. 1
  • @
    @lugendopius12313 years ago Gwajima utafikiri ulikuwepo bungeni miaka na miaka safi sana unaongea kweri kabisa. 3
  • @
    @ahmuhally44303 years ago Gwajima yuko vizuri sana ila tatizo lake ni mdini sana anawachukia waislamu. 2
  • @
    @massmedia87113 years ago Hapo kwenye corona ndio niliongeza sauti, ghafla nikasikia kakicheko kwa karibu sana huku kakisema dk 5 zimeisha.
  • @
    @stellamwasenga62053 years ago Wahi kwenye hoja kaka achana na kusifu tu.
  • @
    @isayakihongile49213 years ago Nyie pasua kichwa mara muisifie serikali mara mlalamike hakuna fedha zana shule siwaelewiii. 3
  • @
    @stephenwakunyala86173 years ago Tunajua umebebwa co elekea ktkt poiti sio mpaka umsifie. 1