@adielymwarabu54744 years agoSio bure mungu anampango mzuri na lisu. 1
@
@derickthobias63934 years agoMungu akupe maisha malefu mweshimiwa lissu. 2
@
@piasonedom12154 years agoLissu ni nomaa sanaaa ana faa kuwa rais. 4
@
@frankmlowe48194 years agoTunakusubiri njombe kwa hamu mzee baba. 20
@
@edwinkimambo94734 years agoKama umemuona wabasikeli anambio kuliko wa bodaboda nipe like. 7
@
@dasilvajunior30164 years agoPamoja xana rais, umetisha bila wasanii. 12
@
@iliasaliogopen65054 years agoDua naiyomba amina kuitikia, hasbunallahu waniimal wakiil. 6
@
@ukweliunauma45704 years agoMwenye macho hambiwi tizama ccm imekwisha kazi kupeleka waanafunzi tu mikutanoni. 1
@
@sigifridahendry44834 years agoTatizo ni wajumbe utajaza kweny mikutano kwenye kupiga kura unabaki mwenyewe. 3
@
@margarethorgenes48744 years agoMashabikikeshokutwa watasema wameibiwa kura kwa kuwa barabarani walikuwa wengi. Yangu macho. 2
@
@admaumsengi42304 years agoKwenye msafara ayo mnatuonyesha lakini akianza kunadi sera mnaanza kukatakata mwogopeni mungu. 2
@
@neemamasimba29814 years agoKawaida sana hao no wnajumbe jamani, wajumbe ninyi wajumbe.
@
@shedracksimon18684 years agoKuna sababu ya wewe kua hai mh tundulisu. 1
@
@issayasosolo54634 years agoWatamwelewa tu chura kapigwa teke na polepole anazidi kwenda mbele tund hatari sana! 4
@
@masabamarkosamweli49374 years agoKama umemuona askari akipiga makofi nipe like. 46
@
@aggreyenock12214 years agoMiradi uwe unaweka ndefu sana watu tunaweka bundle zetu kumuangalia lissu. 3
@
@atiliomitao71064 years agoKaka millard ayo naombeni mnisaidie namba ya mheshimiwa tundu lissu asante.
@
@ghadnehamed91384 years agoNi wewe tu lissu. Mungu akuweke uwatoe taka za maskio wasojijua. 4
@
@neemamwakatika124 years agoWatz mkilogwa tu mkachagua ndudu hii hapo mnapigwa lockdown hata kabla ya kuapishwa. 1
@
@khamissnassor14624 years agoMwendo ni ule hapa tunaskiliza madongo makali af tukitoka hapo tunaenda upande wa kijani kucheki show ya mondi.
@
@kalufunyangenyakinyungu50874 years agoKwa jpm bado saana, akasome, hamfikii hata nusu yupo robo bado. 1
@
@emmanuelmosha22784 years agoUtaskia wanasema maanamano, je yule anaefanyia mikutano katikati ya barabara hawamuoni. 4
@
@edwardlutema60064 years agoUkweli ni kwamb hamna wapiga kula uchaguzi huu myspiwa vibaya sana.
@
@julianamasunga7004 years agoNgoja mwenye nchi aende morogoro. Ndiyo utaelewa maharange siyo mbonga.
@
@chajanevatv45464 years agoWanapeleka maiti au mbona hawaana hata shangwe kwa watu? Chadema mnapoteza mda.
@
@aronassom51344 years agoMnyonge mnyongeni haki yake mpeni hapo hakuna msanii hata mmoja lkn raia wanamfata ni yeye 2020. 29
@
@fintaniferx95354 years agoDa iv apo ni mjini au? Nuyumba zote ni vibanda kweli africa bado sana. 1
@
@mashajafari97654 years agoTokalini ukavakanzu at uvae majoho apati kitu.
@
@aggreyenock12214 years agoJamani mh lissu anatumia mda mwingi kuzunguka tatizo vyombo vya habari havina mchango. 20
@
@josephatraymond49024 years agoAmna kitu hapo. Boda namilio ya onih ndo et nyomi.
@
@eischerschwederm78764 years agoMaskini hata mhemko hakuna. Kweli magu kiboko ya uchafu. 1
@
@mussamchena95954 years agoToo bad bodaboda mnatumika kizenbe sana. 3
@
@theophilbuay40054 years agoMillard ayo huwa hawafiki kwenye mkutano nn? 1
@
@pascalmstaarabu43724 years agoHahahaa walinipa hela ya mafuta niunge msafara nikaweka wese na nikaacha kwendaa hahaa hahaaa. 1
@
@jamalahmed70574 years agoKwa kweli lissu nilifikiraia anajielewa kumbe kaingia choo cha kike, hawezi kushinda uchaguzi huu wenziwe wamejipanga hata akiingia mtaani hawatoweza kushinda watakufa tu.
@
@aichaabdul58444 years agoBado hamjafikia pale kwa lowassa wakati akigombea uraisi kupitia chadema, alikwa na ushawishi mkubwa sana.
@
@sponsor78824 years agoRais ndiye huyu ndugu zangu. Hatumii nguvu za wasanii.
@
@pancrasshirima4 years agoNa hapo hajatumia wasanii ni upendo tu wa wananchi. 1
@
@presseg.63624 years agoKumbe ndio mnawaita watu! Kwa jembe letu magu huwa watu wameshakaa tayari, wanamsubiri! Siyo nyie na masifa yenu! Alafu na maneno yenu ya faraja kwamba. ...Expand1
@
@officialstoner7714 years agoYaan hao wote wanamsindikiza tu hajui mchezo wao. 1
@
@davidndaha96074 years agoMbona ccm wanaogopa upinzani? Wakati wanasema wanajiamini wamefanya mengi! 1
@
@gracemima52344 years agoKataa kudanganywa. Tundu lissu ni kibaraka.
@
@NoorAhmed-lg8xr4 years agoHizo ni mbio za sakafuni subiri oct 28 ndipo utakapofunga domo lako tushakwambi hatudanganyiki.
@
@gracemima52344 years agoAngalia barabara za magufuli raha tupu. Hakuna vumbi. Kisha anasema atamuondowa ikulu. Ataweza. Kweli? Hawezi.
@
@shukurumwalukopetro67574 years agoJe hao boda wamejaziwa mafuta! Wamekusanya vikiweni au wamejitoa kwa upendo kwa hadema?
@
@thatlustyidiot94184 years agoHatutaki kungwa macho na lisu chagua magufuli = maendeleo ya tanzania. 5
@
@ibrahimimu59784 years agoNyie nyote mngelikua mpo kwenye nchi inayotambua na kuheshimu uhuru wa habari, basi mngefungiwa nyote. Sasa hii ndio nini? Kwahivyo ulikusudia uwaonyeshe watu msafara tu. Shame on you. 1
@
@yassiniferuzi28674 years agoMgombea urais wa acaccia kupitia kivuli cha chadema hatuchagui rais wa kwenye gunia huyo atakuwa rais wa kafara kuwadi wa acaccia atauza nchi tayari tuna. ...Expand
@
@charlesmaghuha58534 years agoDavid silinde wa tunduma kamfunika vibaya lisu, naskia kelele tu, sioni watu mimi. 8
@
@titosanga54474 years agoMwaka huu uhakika ikulu ni ya chadema. 7
@
@naimumwahu77234 years agoHuyo mwenye baiskel alitendewa nn na ccm hadi kakanyaga baik ivo. 3
@
@abdallahmuttaq73064 years agoMbna mnalazimisha watu wenyewe wala hawana story. 3
@
@eliamwasomola50744 years agoNinavyo mfaham mkuu wa chama dola anae miliki mapolisi tume ya uchaguzi atakapo tangazwa ameshinda angali hajashinda wengi tutajuta kuzaliwa maana no mzee. ...Expand7
@
@maspro62944 years agoWewe kibaraka wa mabeberu hakuna wa kuwapa inchi nyinyi mtabaki kubwaka kama mbwa koko wewe labda uwe rais wa kuzibua vyoo na mashoga sio kuongoza inchi wewe uraisi kwako sawa na katia maji kwenye pakacha. 2
@
@allycube79034 years agoHoo hatutaki maendeleo ya vitu tunataka maendeleo ya watu barabara sie za nin acha barabara na madaraja yampigie kura saiz anatambaa kwenye barabara anazo tengeneza maguful na ccm kwel jamaa anaitaj mirembe. 10
Related videos for TAZAMA MAPOKEZI YA TUNDU LISSU MOROGORO KUANZIA MSAMVU MPAKA MASHUJAA:
uwatoe taka za maskio wasojijua. 4
ni yeye 2020. 29