Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameeleza kupunguwa kwa wagonjwa walioambukizwa virusi vya corona waliokuwa wamelazwa katika hospitali maalum kadhaa nchini. Majaliwa ameyasema hayo leo aliposhiriki swala ya Eid el Fitr katika Msikiti wa Gaddafi jijini Dodoma.