Duration 2:2

Mbunge CHADEMA amuangukia Rais Magufuli, kisa CCM

22 970 watched
0
87
Published 27 Apr 2018

Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul amemuomba Rais Magufuli kuingilia kati sakata la Stendi ya Mabasi ya halmashauri yao iliyochukuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) na kuinyima halmashauri mapato. Ni wakati wa uzinduzi wa barabara ya Kondoa - Babati uliofanyika leo, mjini Kondoa.

Category

Show more

Comments - 13