Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
/watch/gP9ye7QajQQay/watch/Y9mrg7gbcsMbr
@salimharrasy70474 years agoPanahitajika tahadhari sana. na ufanywe mfumo wa kuwatafuta kitaalam. anajulikana chatu anapenda mizoga. Wategwe kwa kutumia mizoga. id="hidden1" chatu anapenda kuzonga wanyama wadogo na watoto wadogo. likitokea hilo kama hamna silaha. kimbilieni kwenye mdomo wake vuteni chini na juu mlaini sana mara unachanika. ingawa si rahisi kumpata sehemu ya kichwa huwa anajizonga. ...Expand5
@
@aishanassor81304 years agoSubhana allah, allah atusalim salama. Jukumu lipo kwa jamii na serikali. Kwanza serekali itoe dawa ya kutoshaa kumwaga ktk msitu huo ya kuuwa wadudu hatar me nasema hvi kwa sbb nipo nje na chuo nnachosoma kiko maeneo ya shamba kbsa ambpo kabla ya kufunguliwa hki chuo ilikua tu ni porii so wadudu wakubwa km hao ilikua ni weng sana sambamba na nyoka lkn kila baada ya muda wanamwaga dawa na alhamdulillah mpk sasa na in sha allah iendelee hvi haijawah kutokea madhara yyte. ...Expand1
@
@salumjumaruhaga25134 years agoKitowea safi sana, we ngosha acha ushamba. 1
@
@leylaaliy98524 years agoMh mtihani kuishi kwa hofu na michatu hio allah awahihifadhi. 11
@
@alihemed77214 years agoMh mtihani ila kama pana mapango hapo na wanaonekana ni wakumbwa hivo bs hapo wapo tena wengi serekali na wanachi wajitolee ili kuwaondoa wadudu kama hao. 5
@
@masoudyrashidy90414 years agoPoleni sana jamani kwa kweli ni mtihani allah atatusaidia. 1
@
@issaali13214 years agoNi mtihani mkubwa lkn tujue kuwa hayo. Maeneo chatu wapo assilia. Sasa binaadamu wamevamia lazima tujue kuwa hii dinia sio yetu peke yetu tushe na viumbe wengine. Miaka ya nyuma ndio ilikuwa makaazi yao jamaani. 4
@
@africanchocolate42164 years agoMnge waita wachina wange mchukue na kwenda kutengeneza kitoweo safi sana! Tena nasikia wana sema ni mtamu sana kwa chai delicious.
@
@fdhjffdhjfsjdjfjfi94774 years agoMuwe na tahadhari kubwa sana hasa wakt wa uck wasijekuleta madhara na watoto pia musiwaachie kuzurura humo kwenye vichaka mungu atawahifadhi inshallah.
@
@hanifasilima48164 years agoHhh siyakucheka lln nimecheka uyo nyoka aloingia kwenye choo mt angekqenda jisaidia angetaman aridh icimame ashuke. 3
@
@rasykizanjbari49964 years agoToba mimi tena hapo ningekaa kwa hofu nahic km atapanda juu ya nyumba yngu au mvunguni maana inatisha hiyo sehemu. 2
@
@stonetown5784 years agoMwitu mkubwa sana fyekeni kabla athari haikuzidi. 1
@
@mussakiziyzi4084 years agoMmmh hio ni neema kubwa ya kitoweo ktk maeneo yenu nasema mumebarikiwa.
@
@husnatgamaah13354 years agoAise nilivyo muoga ningehama huko siku hiyo uwih.
@
@harounali4854 years agoUshauri wangu ni tumieni mbwa wa usasi au wa police kuwa tafuta makaazi yao. mbwa wana uwezo wa kunusa na ku gunduwa walipo. 1
@
@awadhirajabu77544 years agoKwakua nyoka ni adui kwetu binadamu nisawa kabisa kumuua hata mungu alitupa ruusa ya kuwatwanga nyoka mpige kichwani isipokua nawe binadamukisigino chako nyoka sio mdudu mwema kamwe.
@
@ummulkurthumabeid29144 years agoDuh hili sio la lishapea mtihn huu anwenza kula mtu jmn tuwe makini.
@
@afropanorama47304 years agoWapo kwenye makaazi yao. Sisi binadam ndo tunawafuata kwenye mazingira ya kwa kisingizio cha kujenga.
@
@dr.ajeyfemed58954 years agoKwann watu wa mali asili na wizara husika wasifanye animal control kuwataftia sehem wakawapelela kuliko kuwauwa kuna visiwa havikai watu zanzibar wapelekwe huko tunawahitaji hao wanyama. 6
@
@asrymohd66904 years agoHuu mwaka kiboko january jamaa kasema hajui mwezgani.
@
@suleimanmazrui69424 years agoHao nyoka nirafiki sana bora muwaogope ccm. 1
@
@husnatgamaah13354 years agoKwa vichaka hivyo lazima wawe wengi jipangen mpunguze hayo majani na mamiti yasiyo na msingi.
@
@sabrinaislam42004 years agoMdhirikiane wenyewe sio kila kitu serekali.
@
@MahmoudAli-uk8ci4 years agoPelekeni china biashara hio pesa nnje nje.
@
@naimamwambe80834 years agoJamaa ngosha untuangusha kwa nini usiwaite wa china watawatawavuna wote.
@
@osmanha69154 years agoSinunui tena kiwanja huko kaeni na machatu yenu.
@
@muhammedabdalla54964 years agoNi nyumban huko nasikitika kusikia ivyoo nawaombea kwa mungu awanusuru na wadudu wabaya km hao jp saiv sipo visiwan kwetu ila kisauni ni nyumban skuli yake ndio nilio soma toka la kwanza mkimbia kwao mtumwa.
@
@amourmtungo6234 years agoNa ndio maana nilisema wangeitwa wataalamu kwa ajili ya kuwahifadhi. Chatu hana mwendo wa kasi kama nyoka. Binaadamu tuna akili zaidi ya chatu kwahio sio rahisi kutoroka kama wamehifadhiwa vizuri.
@
@saidismailhamad32294 years agoPumbavu serekali iache kazi ije kuua nyoka so si ata kwa bakoratu unauaa kila ktu eti serikali kuna mambo yakuita serikali ila sio nyoka pekeangu naua ata afike futi 30.
@
@dr.ajeyfemed58954 years agoIshu ni animal controlsio kuwapiga silaha waende wahamishwe maeneo mengine. 1
@
@raiye56214 years agoKila ki2 serekali kateni mamit yaso na umuhimu serekali itafanya mangapi. 4
@
@tumabhay85764 years agoKila kt serikali kwani wananchi wa eneo hilo hawawezi kushirikiana na kufanya usafi na kuwauwa au kupelekwa sehemu husika. Mambo mengine mepec si lazima serikali jamani.
@
@IlhaamMarshed4 years agoDuh mimi naogopa jamn anaeogopa km mm subscribe kwenye youtube channel yng. 3
@
@rukiamohammed50314 years agoMji umezungukwa na vichaka mno fyeken vichaka hivyo kukiwa hakuna hivyo vichaka hamta ona mdudu yoyote wa aina hiyo daah mji utafikiri hawakai watu sa serikal iwasaidie nn zaid ya nyie kujiongeza polen pia daah nimeogopa.
@
@amourmtungo6234 years agoIlikuwa ni muhimu kuwaita wataalam kwasababu ni muhimu kwa makumbusho na kwa hifadhi ya hao chatu kwa sote watalii na kizazi kijacho. Chatu hana sumu ila. ...Expand1
@
@ramadhanisuru18224 years agoMsiwauwe maliyasili wako karibun nanyie.
Related videos for JOKA KUBWA LAZUA BALAA KISAUNI ZANZIBAR:
na ufanywe mfumo wa kuwatafuta kitaalam.
anajulikana chatu anapenda mizoga. Wategwe kwa kutumia mizoga. id="hidden1"
chatu anapenda kuzonga wanyama wadogo na watoto wadogo.
likitokea hilo kama hamna silaha.
kimbilieni kwenye mdomo wake vuteni chini na juu mlaini sana mara unachanika.
ingawa si rahisi kumpata sehemu ya kichwa huwa anajizonga. ...Expand 5
hio ni neema kubwa ya kitoweo ktk maeneo yenu
nasema mumebarikiwa.
mbwa wana uwezo wa kunusa na ku gunduwa walipo. 1
tunawahitaji hao wanyama. 6