@karimkalama76084 years agoMwenyez MUNGU akubaliki japo kikao kilikua chako na Wanawake. 2
@
@annainnocent45904 years agoBe blessed kwakweli nafurahi kujuwa mwanamke ni mlinzi wa mwanamume na as long as kuna jinsia 2 duniani basi mwanamke ni mlinzi wa dunia na mlango wa vizazi vya wanadamu.... mwanamke mwenye hekima chukua point ulizosikia fanyia kazi songa mbele maana mwanamke ni jeshi kubwa na jeshi halirudi nyuma kamwe. ...9
@
@stephenpaul86794 years agoNashukuru kwa historian nzuri na kusisimua ningeomba utuandalie historian (six days war 1967 third Arab Israel war 1
@
@gyankisanga67904 years agoBaba Ananias uko juu na Uhai Media nzma 100% 3
@
@suleimanomar64674 years agoHongera...they are called lesser weapon but powerful.. mnakwama wapi wanawake 3
@
@mosesmanasseh56184 years agoAnanias Edgar nakuelewa hadi sikupatii jb ww nikichwa barikiwa sana 3
@
@trophainamagogwa79664 years agoKumbe wanaume ni waumbea saana msiseme tena wanawake ni wambea ,Wanaume dunia imewameza poleni 3
@
@jembesumukagine14034 years agoVizuri sana tuko pamoja 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 6
@
@zoomemedia44524 years agoMungu huboresha kilicho bora .Mama akifa huondoka na mtoto ila baba akifa huacha mtoto . Wanawake be smart workers 3
@
@trophainamagogwa79664 years agoAkose kujilinda eti Mungu atanitumbua,Mtajiju 4
@
@yiasseanabdullahaman97184 years agoEeh nmekuwaa wa 5 leo .... Lete like zako hapa Kama umeipenda hii na Kama unamkubar Ananias Edgar😉 21
@
@jesusfirst84644 years agoWalio wengi wao vichwa havifai, waaanza mapenzi kwa adanu sana ila kisha mwaka mmoja tu, wabadilika sana na kutokuwa na adabu. 4
@
@jembesumukagine14034 years agoNakuomba uzungumzie mafaniko Na hamasa kuhusu vijana 8
@
@trophainamagogwa79664 years agoAise hapo unaposema kupendeza si kucha za Bandia ,nywele za Bandia ,rangi vidoleni nimekupenda Bure Wanawake Tanzania Wengi wametekwa na hiyo na Uzuri wao wa Asili umepotea kabisa ,Mama Mwakipesile amezungumzia hilo saana Wamama Acheni rudini kwenye asili ...5
@
@luckymoney97294 years agokama unaamn mwanamke chachu ya mafanikio kwa wanaume wote,,,,gonga like hapa tujuane,,, 19
@
@mkamamagesa41054 years agoWe anania nitumie namba yako nikutumie buku ten maana unanifunza vitu vingi Sana broo
@
@luckymoney97294 years agoANANIAS EDGAR upo vzur na tu nakpenda bro,,eb tulee tips za kufanya na zczofaa kufanya ili ufanikiwe kwa cc vjana,, 4
@
@yussufhassan51794 years agoAise huwa nikiona notification 🔔 yako huwa sipitwi kuskia maana ukweli unauzungumza ipasavio 3
@
@fasterwalker14644 years agoHiyo kweli boss wanaume tukichoka huwa hatuitaji bugza tuachwe kwa muda kidogo ukituongelesha tukikujib fresh jua tumejilazimisha tu 1
@
@trophainamagogwa79664 years agoKwa nini wanaume wasikae nyumbani mkafanya kazi wote za Nyumbani ili baadaye wote mwe ngoma draw??Wazungu wanasaidiana waafrica wanaume wanataka kila kitu wafanyiwe hapo lazima mwanamke lazima achukie ,Wanaume mnataka Tendo huku kutusaidia hamtaki lazima tutawanyima ili mwende tu huko nje Dhambi iko kwenu, ...4
@
@issarashid14214 years agoNikweli sisi wanaume tukichoka huhitaji utulivu umesema ukweli Ananies Edgar maneno yako niukweli mtupu 2
@
@bintiiddy70434 years agoHapo kwa kuchepka ni Mungu ty Ndio atalinda ilakote mwanamke anaweza 🤣🤣🤣😂😂😂 5
@
@kingfocustzog4 years agoHATA SIKU MOJA USIJARIBU KUMUOMBA MSICHANA VOCHA,UKIACHANA NAE ATAKUTANGAZA KUWA YEYE NDO ALIKUWA KILA KITU.🤣🤣Tupambane tu wapwa zangu🤣10
@
@trophainamagogwa79664 years agoYaani wanaume ndio mko dhaifu kiasi hicho??kama ningejua nisingeolewa kabisa ningeishi mtawa, 3
@
@charlesryoba74024 years agoMmmmmmmmmmmmh haya bwana mm nimekuelewa sana
@
@stephenpaul86794 years agoNashukuru kwa historian nzuri na kusisimua ningeomba utuandalie historian (six days war 1967 third Arab Israel war 1
@
@karimkalama76084 years agoMwenyez MUNGU akubaliki japo kikao kilikua chako na Wanawake. 2
@
@annainnocent45904 years agoBe blessed kwakweli nafurahi kujuwa mwanamke ni mlinzi wa mwanamume na as long as kuna jinsia 2 duniani basi mwanamke ni mlinzi wa dunia na mlango wa vizazi vya wanadamu.... mwanamke mwenye hekima chukua point ulizosikia fanyia kazi songa mbele maana mwanamke ni jeshi kubwa na jeshi halirudi nyuma kamwe. ...9
@
@stephenpaul86794 years agoNashukuru kwa historian nzuri na kusisimua ningeomba utuandalie historian (six days war 1967 third Arab Israel war 1
@
@gyankisanga67904 years agoBaba Ananias uko juu na Uhai Media nzma 100% 3
@
@suleimanomar64674 years agoHongera...they are called lesser weapon but powerful.. mnakwama wapi wanawake 3
@
@mosesmanasseh56184 years agoAnanias Edgar nakuelewa hadi sikupatii jb ww nikichwa barikiwa sana 3
@
@trophainamagogwa79664 years agoKumbe wanaume ni waumbea saana msiseme tena wanawake ni wambea ,Wanaume dunia imewameza poleni 3
@
@jembesumukagine14034 years agoVizuri sana tuko pamoja 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 6
@
@zoomemedia44524 years agoMungu huboresha kilicho bora .Mama akifa huondoka na mtoto ila baba akifa huacha mtoto . Wanawake be smart workers 3
@
@trophainamagogwa79664 years agoAkose kujilinda eti Mungu atanitumbua,Mtajiju 4
@
@yiasseanabdullahaman97184 years agoEeh nmekuwaa wa 5 leo .... Lete like zako hapa Kama umeipenda hii na Kama unamkubar Ananias Edgar😉 21
@
@jesusfirst84644 years agoWalio wengi wao vichwa havifai, waaanza mapenzi kwa adanu sana ila kisha mwaka mmoja tu, wabadilika sana na kutokuwa na adabu. 4
@
@jembesumukagine14034 years agoNakuomba uzungumzie mafaniko Na hamasa kuhusu vijana 8
@
@trophainamagogwa79664 years agoAise hapo unaposema kupendeza si kucha za Bandia ,nywele za Bandia ,rangi vidoleni nimekupenda Bure Wanawake Tanzania Wengi wametekwa na hiyo na Uzuri wao wa Asili umepotea kabisa ,Mama Mwakipesile amezungumzia hilo saana Wamama Acheni rudini kwenye asili ...5
@
@luckymoney97294 years agokama unaamn mwanamke chachu ya mafanikio kwa wanaume wote,,,,gonga like hapa tujuane,,, 19
@
@mkamamagesa41054 years agoWe anania nitumie namba yako nikutumie buku ten maana unanifunza vitu vingi Sana broo
@
@luckymoney97294 years agoANANIAS EDGAR upo vzur na tu nakpenda bro,,eb tulee tips za kufanya na zczofaa kufanya ili ufanikiwe kwa cc vjana,, 4
@
@yussufhassan51794 years agoAise huwa nikiona notification 🔔 yako huwa sipitwi kuskia maana ukweli unauzungumza ipasavio 3
@
@fasterwalker14644 years agoHiyo kweli boss wanaume tukichoka huwa hatuitaji bugza tuachwe kwa muda kidogo ukituongelesha tukikujib fresh jua tumejilazimisha tu 1
@
@trophainamagogwa79664 years agoKwa nini wanaume wasikae nyumbani mkafanya kazi wote za Nyumbani ili baadaye wote mwe ngoma draw??Wazungu wanasaidiana waafrica wanaume wanataka kila kitu wafanyiwe hapo lazima mwanamke lazima achukie ,Wanaume mnataka Tendo huku kutusaidia hamtaki lazima tutawanyima ili mwende tu huko nje Dhambi iko kwenu, ...4
@
@issarashid14214 years agoNikweli sisi wanaume tukichoka huhitaji utulivu umesema ukweli Ananies Edgar maneno yako niukweli mtupu 2
@
@bintiiddy70434 years agoHapo kwa kuchepka ni Mungu ty Ndio atalinda ilakote mwanamke anaweza 🤣🤣🤣😂😂😂 5
@
@kingfocustzog4 years agoHATA SIKU MOJA USIJARIBU KUMUOMBA MSICHANA VOCHA,UKIACHANA NAE ATAKUTANGAZA KUWA YEYE NDO ALIKUWA KILA KITU.🤣🤣Tupambane tu wapwa zangu🤣10
@
@trophainamagogwa79664 years agoYaani wanaume ndio mko dhaifu kiasi hicho??kama ningejua nisingeolewa kabisa ningeishi mtawa, 3
@
@charlesryoba74024 years agoMmmmmmmmmmmmh haya bwana mm nimekuelewa sana
@
@stephenpaul86794 years agoNashukuru kwa historian nzuri na kusisimua ningeomba utuandalie historian (six days war 1967 third Arab Israel war 1
Related videos for DENIS MPAGAZE-WANAWAKE NI JESHI KUBWA:
mnakwama wapi wanawake 3
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 6
mnakwama wapi wanawake 3
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 6