Duration 3:11

WAZIRI KIGWANGALLA AUMIZWA NA ZINJANTHROPUS Kwanini hatupati Wageni

8 385 watched
0
46
Published 20 Jan 2019

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk.Hamisi Kigwangalla ameihoji Makumbusho ya Taifa kwanini hatupati wageni wengi licha ya kuwa na vivutio vingi ikiwemo Binadamu wa Kwanza ZINJANTHROPUS ambaye hakuna asiyemfahamu duniani.

Category

Show more

Comments - 31