Duration 6:33

MAHAKAMA KUU TANZANIA YAAMUA HILI KUHUSU JANGA LA CORONA

622 watched
0
8
Published 24 Mar 2020

MAHAKAMA kuu ya Tanzania, imesema ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa corona itahakikisha inatilia mkazo uendeshaji wa shughuli zake kwa njia ya mtandao jambo ambalo inadai litasaidia kujihadhari na ugonjwa huo. Imesema wadawaa na wananchi wengine watakuwa wanafuatilia mashauri ya kesi zao kupitia njia ya mtandao hatua ambayo pia itapunguza msongamano wa watu mahakamani. Kauli hiyo imetolewa na Jaji mkuu wa Tanzania, Professa IBRAHIM JUMA wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza kuhusu kusikilizwa kwa kesi hizo kwa njia ya mtandao.

Category

Show more

Comments - 0